Genesis 48:3

3Yakobo akamwambia Yusufu, “Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).
alinitokea huko Luzu katika nchi ya Kanaani, huko akanibariki,
Copyright information for SwhKC